0

Mimi namshangaa sana Zitto Kabwe, mbona anahangaika sana na mambo mengi, maneno, majungu, kujidai yeye ndo mgunduzi wa ufisadi etc? 

Bwana Zitto hii serikali ya Mh Magufuli inajimudu, hembu tulia kama wabunge wengine kwa kipindi hiki na acha kuleta mambo mingi mingi isiyokuwa na maana, Mzee hatokupa cheo chochote.

Mambo ya ukawa kuwa na watu wa shutuma za ufisadi wakati wa uchaguzi yanakuhusu nini? hata mgombea wa ukawa alikuwa na tuhuma lukuki za ufisadi? hivi hili nalo ni jipya? si utulie tu ukae na familia yako kipindi hiki na upunguze maneno yasiyo na tija?

Post a Comment

WRITE YOUR COMMENTS HERE

 
Top