▼▼▼TO
SEE PHOTOS AND THE VIDEO, WATCH HERE, CLICK HERE DOWN▼▼▼
Mheshimiwa Sugu alipigwa mawe na gari lake kuharibiwa wakati akienda kata ya Iziwaa jiji Mbeya; kutokana na vurugu hizo ;
Sugu kahairisha kampeni .
▼▼▼TO SEE PHOTOS AND THE VIDEO, WATCH HERE, CLICK HERE DOWN▼▼▼
Gari la Mgombea Ubunge jimbo la Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi Sugu likiwa kituo cha Polisi kati jijini Mbeya mara baada ya kushambuliwa kwa mawe na watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa CCM