0


Sisi ni majirani tumetokea kuzoeana tu kidogo kwakuwa mwenzangu  yeye ni mwenyeji mimi nimemkuta tu hapo nilivyo hamia, lakini naona kama kuna mazoea fulani ya ajabu, hii ni mara ya tatu huyu dada ananiomba nimpige picha tena akiwa amevaa kiajabu ajabu, siku nyingine anadiriki hata kunigongea chumbani kwangu ili nitoke tu nimpige picha halafu aendelee na shughuli zake...leo Kaniomba nimpige akiwa na chupi tuu kitandani kwake sasa imekuwa kero Simuelewe kabisaaaa Wadau..

Naomba Ushauri

Ray

Post a Comment

WRITE YOUR COMMENTS HERE

 
Top