0


Kama ni mtumiaji wa mitandao ya kijamii utakua umekutana na taarifa inayomhusisha Tunda Man kupata ajali  akiwa Mkoani iringa Asubuhi ya April 17 millardayo.com imempata Tunda Man mwenyewe na amekubali kutuelezea.


Maelezo ya mwanzo ya Tunda Man amesema
‘Tulikua tunatoka Njombe baada ya kumaliza show yetu na tukasema bora tusilale tuwahi kufika Dar,tumetoka Njombe saa 10 alfajiri mimi nikawa nasikia usingizi nikamwambia mwanangu hebu tuendeshe kidogo,kufika kijiji cha Idetelo kilomita kama 20 au 30 kabla ya kufika Mafinga tukiwa tumelala tukashtuka Gari inaingia porini tukasikia mshindo mkubwa gari imepiga puuuh Dereva hapo hapo akawa amefariki‘

Tunda Man anamalizia kwa kusema
‘Tulikua watu watano kwenye gari aliyekaa mbele na Dereva amevunjika mkono na nyama zimechanika,kuna mtu aliyekua nyuma mapafu yamepasuka,Mimi nipo poa,kwa sasa hivi tuko Mafinga hapa Hospitali ya Wilaya tunaangalia taratibu za kuchukua mwili tuupeleke Kilosa kwa ndugu zake,marehemu aliyefariki anaitwa Mussa lakini watu wengi wanamjua kwa jina la Man katuzo.
Mesothelioma Survival Rates About 40 percent of patients with mesothelioma survive the first year after diagnosis. That survival rate depends on many factors, including age, cancer stage, cancer type, race and gender.
Long-term survivors attribute their success to treatment from a mesothelioma specialist, alternative medicine and nutritional changes. Average mesothelioma survival rates Mesothelioma claimed nearly 30,000 American lives between 1999 and 2010. About 40 percent of U.S. patients live to the one year mark. By the second year, about 20 percent of patients are still alive.
And by the third year, the number is 8 percent. How is survival rate measured? Researchers describe the mesothelioma survival rate in several ways. They usually talk about it in terms of one-year survival, the percentage of people who survive for a year after diagnosis. Through their studies, they also look at longer survival times, including the number of people who live two years, three years and five years.

Post a Comment

WRITE YOUR COMMENTS HERE

 
Top