▼▼▼CLICK HERE  FILL THE FORM AND WIN GALAXY S6▼▼▼

Dogo Janja a.k.a Janjaro amezawadiwa gari katika siku ya kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa Sept 15.
Janja-3
Zawadi hiyo ya gari imetoka kwa Madee ambaye ndiye mlezi wake kimuziki kwa muda mrefu.

janja1
Dogo Janja ambaye sasa amefikisha miaka 21 ameshare picha Instagramakikabidhiwa gari hiyo.

▼▼TO SEE PHOTOS AND THE VIDEO, WATCH HERE, CLICK HERE DOWN▼▼▼

Janja2
“Muwakilishi Wa Mshua Alikuwa @dicksound1 Tajiri Yangu,Moja Ya Watu Wa Karibu Sana Wa Mshua Na Pamoja Na Mimi.. Shukraaan Sana Kwa Uongozi Wa Tip Top Connection @madeeali @babutale Tajiriii Dick Umetishaaaa Sanaaa” – Dogo Janja

Katika post nyingine alimshukuru Madee;
“Shukran Sana Mshua @madeeali Uko Mbalii Lakini Umenisuprise.. Sina Cha Kukulipq Zaidi Ya Kukuheshimu Daima.. Hakika saiv Barabarani Tutapigiana Honiii Tu Shukran Sanaaa Sanaa Sanaa MUNGU AKUWEKE”
 
Top