
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Shulula’ ameiambia The Playlist ya Times Fm kuwa hawezi kufanya hivyo kwa sasa.
“Hapana kwa sababu unapozungumzia Harmonize inaizungumzia WCB, so bila WCB hakuna Harmonize, yaani kama baba kama mama” amesema Harmonize.
Alipoulizwa ni msanii yupi anamkubali katika label hiyo alijibu, “ndani ya WCB nawakubali wote kwa sababu kikubwa kila msanii unayemuona pale hajaja kwa bahati, kila mtu ana kipaji japokuwa wanatofautiana”.
Post a Comment
WRITE YOUR COMMENTS HERE